Showing posts with label Beauty. Show all posts
Showing posts with label Beauty. Show all posts

Thursday, 22 October 2015

ZURII BRAID WIGS AVAILABLE AT ZURII HOUSE OF BEAUTY

#ZuRiiBraidWigs are now available in store for all enquires please call or whatsapp +255 (0) 65 918 976 or +44 (0) 755 730 4940 (kwa bei na maelezo zaidi piga au whatsapp namba hizo hapo juu)
We are located in Dar Free Market, 
1st Floor, Shop No F4, 
Oyster Bay, 
Ally Hassan Mwinyi Road, 
near DSTV or the embassies of Kenya and France.

Working Hours: Mon-Sat: 10am-8pm, 
Sunday: 10am-6pm

Follow us on instagram: 
Add us on Facebook: Zurii House of Beauty









#JestinaGeorgeBlog #DiasporaBlogger #ZuRii #ZuRiiHouseOfBeauty
#WeLeadOthersFollow #LookGoodFeelGood #OnlyAtZuRii — at Zurii House of Beauty.

OJOJOO HAIR FOOD AND HAIR SERUM AVIALABLE AT ZURII HOUSE OF BEAUTY.

KILA MTU SASAHIVI HANA MBA HANA KIPILIPILI NYWELE MPAKA BEGANI OJOJOOO NDIO HABARI YA MJINI KILA MTU ANAJIKUTA ANA NYWELE NDEFU KAMA MUHINDI? WEWE UNANGOJA NINI??WALE WENYE SALON JAMANI MUWEKEE MTEJA KITU KILICHO BORA
.
.

#OJOJOO mafuta na serum ya kukuza na kujaza nywele kwa haraka sana. 
♦️Mafuta rejareja elfu 60,000
Jumla elfu 45,000 kuanzia kopo 6 
. ♦️Serum rejareja elfu 30,000 
Jumla elfu 15,000 kuazia chupa 6
Yanafaa nywele zenye dawa na zisizo na dawa. 
Yanafaa kwa wanaume, wanawake na watoto. 
Kiboko ya mba na tatizo lolote lile la ngozi. 
Yanajaza sana nywele na kwa uharaka zaidi 
Nywele zinakuwa nzito na laini 
Nzuri sana kwa watoto maana hulainisha nywele na kuzipa urahisi wa kuchana. 
Husaidia kurudisha nywele zinazotoka kisogoni .

#OJOJOOSERUM inasaida zile problem areas kichwani. Mfano kwa wale mnaopenda sana kusuka rasta unakuta nywele huku mbele zinakuwa weak au zinakatika sana hii #OjojooSerum husaidia kurudisha nywele zako na kuziimarisha pale zinapo anza kukua.
Pia husaidia sana mataizo sugu kama vile mba, mapunye na issue zingine huko kichwani. Hii serum unaweza changanya kwenye mafuta yako ya #Ojojoo na kuacha nyingine ambayo unakuwa unatumia mara kwa mara kwenye zile problem areas.

Mafuta ya #OJOJOO na serum yake yanapatikana ⏩⏩⏩⏩
.
.
▶#ZuRiiHouseOfBeauty Dar Free Market Mall, 1st Floor, Shop No F4, Oyster Bay, Ally Hassan Mwinyi Road, near the Embassies of Kenya and France. Call or whatsapp
+255 65 918 9769 na
.
▶@malojibeautyspot pale Kijitonyama Sayansi kama unaenda Collabus Hotel opposite na Sofan Bar wasilana nao kupitia +255 762 617 865.
.
. ♦️Kwa wale wa Dar tunafanya delivery popote pale ulipo kwa bei nzuri.
♦️Mkoani pia tunatuma mizigo kwa gharama nafuu. 

OJOJOO HAIR FOOD AND SERUM BEST NATURAL HAIR PRODUCTS FOR YOUR HAIR.

OJOJOO is a fantastic anti-dandruff afro carribean hair growth product. OJOJOO helps in hair growth, repairs, moisturisers, prevents breakage, split ends, softens leaving the hair  shiny and healthy. Can be used by men, women and children.
Buy yours today from 









Buy yours today from 

KARIBU ZURII HOUSE OF BEAUTY

Following
Karibuni #ZuRii kwa huduma bora na bidaah bora. Hapa utapata kila kitu original #NoFakeZone kutoka UK na USA. #ZuRii kuna bidaaha nzuri kwa ajili ya ngozi na nywele zako. Baadhi ya bidaah utakazo pata #ZuRii ni 🔹Lotion 🔹Dawa Za Nywele za watoto na watu wazima 🔹Mafuta mazuri ya nywele na mwili kwaajili ya watoto na watu wazima, 🔹Makeup (brand mbali mbali kama vile Mac, Anastasia Beverly Hills n.k 🔹Perfumes 🔹Creams 🔹Serums 🔹Deodorants 🔹Body Splash 🔹Shower Gels 🔹Wigs (human & synthentic hair) 🔹Weaving (Peruvian, Brazilian, Indian, Human Hiar, Pony Tails, closures za ukweli n.k) Yaani cosmetics na urembo wa kila aina kwa wanaume, wanawake na watoto. Kwa bidhaa zenye ubora wa hali ya juu na huduma bora karibu #ZuRiiHouseOfBeauty. Kwa updates zaidi tufollow kupitia acc zao za Instagram @officialjestinageorgeblog au @zuriihouseofbeauty Contact details +255659189769 +447557304940 Duka lipo #DarFreeMarket Mall, 1st Floor, Shop No F4, Oyster Bay, Ally Hassan Mwinyi Road karibu na balozi ya Kenya na Ufaransa, DSTV na Leaders. Opening Times: Mon-Saturday 10am-8pm & Sunday 10am-6pm